Monday, July 18, 2011

Mbowe Ahutubia Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Dodoma

Wakuu.Habari za Jumapili.

Leo tena tunaendelea na harakati zetu za kujipenyeza na kuwekeza kwa Vijana wa Vyuo Vikuu.Vijana wa CHADEMA Dodoma wameandaa Kongamano kubwa la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma mabalo linaendelea hivi sasa katika Ukumbi wa African Dream Area D. Mada Kuu katika Kongamano hili ni Vijana Wasomi na Mustakabali wa Taifa.

Watoa mada ni Wabunge wa CHADEMA wakiongozwa na Kamanda Freeman Mbowe-Kiongozi wa Upinzani Bungeni(KUB).

Ukumbi umeshajaa na hivi sasa tupo tunasikiliza the Best Speech ya Martin Luther King tukiwa tunamsubiri Mgeni rasmi afungue mkutano.

Picha za Matukio mtazipata tukiwa tunaendelea.




Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira.

No comments:

Post a Comment