A Member of Parliament (Special Seats - CHADEMA). I have been in opposition politics for quite sometime now. I was nominated by my part as an MP under Special Seats. I am a Shadow Minister for Labor and Employment.
Monday, July 18, 2011
Maandamano ya Chadema Mwanza Februari 2011
Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.
No comments:
Post a Comment