Monday, July 18, 2011

Maandamano ya Chadema Mwanza Februari 2011

Wakuu yale maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa ndio yameshaanza.Maandamano yameanzia Buzuruga kuelekea uwanja wa Furahisha.Watu ni wammejitokeza kwa wingi wa jinsia na rika zote.Kwabahati mbaya sijakaa kwenye position nzuri ya kurusha picha lakini nikipata fursa nzuri nitazirusha.

Aluta Continua.

From kwenye Maandamano Mwanza

Regia E Mtema
Waziri Kivuli-Kazi na Ajira

PICHA ZAIDI, fuatilia hii thread - PICHA: Maandamano ya CHADEMA Mwanza












No comments:

Post a Comment