Monday, July 18, 2011

CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo - Machi 2, 2011

Wakuu, Habari!!!

Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

Kutoka Kahama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

=================
KATIKA PICHA


Hapa ni Kemondo


Hapa ni Rwamishenye

Last edited by Regia Mtema; 2nd March 2011 at 06:19 PM.

No comments:

Post a Comment